Mungu
bado anazidi kumtumia mtumishi wa Mungu Mtume Gideon Mutalemwa wa
anayeabudu katika kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na
Uponyaji lililochini ya Nabii Flora hapa jijini Dar es Salaam.
Wiki iliyopita alikuwa katika mkoa Iringa eneo la Mafinga kwa kazi ya Mungu katika mkutano wa nje ulioandaliwa na kanisa la Jerusalem Spiritual Transformation lililoko Lumwago Mafinga Iringa mjini siku ya tarehe 24 hadi 28/07/2013.Na sasa ameingia jijini Dar es Salaam kwa kazi ya Mungu.
Siku ya tarehe 8.2013 anategemea kurudi tena katika mkoa wa Iringa ambapo amepata mwaliko na Mchungaji Ambakisye wa kuhudumu katika kanisa la HOPE FOR ALL NATION CHURCH MAFINGA IRINGA TANZANIA
Mkutano huo ni mkutani wa nje utakaoanza siku ya tarehe 06.08.2013, eneo: Mafinga Mjini uwanja wa kanisa kuanzaia saa9:00 Alasiri – 12: 00 Jioni.
Kumbuka Apostle Gideon ni mwimbaji wa nyimbo za injili Tanzania na pia anafanya kazi ya kuhubiri katika mikutano mbalimbali, Na sasa hivi ameachia albamu yake ya Sambamba na Yesu ambayo ilifanyiwa shooting upya kwa kiwango cha juu sana.
Unaweza kuwasiliana naye kwa simu: +255 719 697252 au tembelea katika blogu yake ya www.apostlegideon.blogspot.com

Apostle Gideon Mutalemwa akihudumu katika kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji la Nabii Flora Peter lililoko Mbezi Salasala jijini Dar es Salaama. Unaweza kutembelea blogu ya kanisa hili www.nabiiflora.blogspot.com au ingia katika facebook yake kwa jina la Nabii Flora Peter.
APOSTLE GIDEON MUTALEMWA AKIWA MKOA WA IRINGA WIKI YA JANA

Mtume Gideon Mutalemwa akiwasha moto Mafinga
Wiki iliyopita alikuwa katika mkoa Iringa eneo la Mafinga kwa kazi ya Mungu katika mkutano wa nje ulioandaliwa na kanisa la Jerusalem Spiritual Transformation lililoko Lumwago Mafinga Iringa mjini siku ya tarehe 24 hadi 28/07/2013.Na sasa ameingia jijini Dar es Salaam kwa kazi ya Mungu.
Siku ya tarehe 8.2013 anategemea kurudi tena katika mkoa wa Iringa ambapo amepata mwaliko na Mchungaji Ambakisye wa kuhudumu katika kanisa la HOPE FOR ALL NATION CHURCH MAFINGA IRINGA TANZANIA
Mkutano huo ni mkutani wa nje utakaoanza siku ya tarehe 06.08.2013, eneo: Mafinga Mjini uwanja wa kanisa kuanzaia saa9:00 Alasiri – 12: 00 Jioni.
Kumbuka Apostle Gideon ni mwimbaji wa nyimbo za injili Tanzania na pia anafanya kazi ya kuhubiri katika mikutano mbalimbali, Na sasa hivi ameachia albamu yake ya Sambamba na Yesu ambayo ilifanyiwa shooting upya kwa kiwango cha juu sana.
Unaweza kuwasiliana naye kwa simu: +255 719 697252 au tembelea katika blogu yake ya www.apostlegideon.blogspot.com
Apostle Gideon Mutalemwa akihudumu katika kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji la Nabii Flora Peter lililoko Mbezi Salasala jijini Dar es Salaama. Unaweza kutembelea blogu ya kanisa hili www.nabiiflora.blogspot.com au ingia katika facebook yake kwa jina la Nabii Flora Peter.
APOSTLE GIDEON MUTALEMWA AKIWA MKOA WA IRINGA WIKI YA JANA
Mtume Gideon Mutalemwa akiwasha moto Mafinga
Kwaya ikimtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji

Mtume Gideon Mutalemwa akihubiri kabla kuanza kazi ya kumuimbia Mungu
Mtume Gideon Mutalemwa akihubiri kabla kuanza kazi ya kumuimbia Mungu
Wachungaji na Maskofu wakisikiliza Neno na kusoma Neno la Mungu

Haya sasa, mtumishishi wa Mungu akitumika...kurudisha watu kwa Yesu Kristo
Haya sasa, mtumishishi wa Mungu akitumika...kurudisha watu kwa Yesu Kristo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni