HEADER

Ijumaa, 7 Juni 2013

ALICHOKISEMA UPENDO BENSON LEO KATIKA FACEBOOK



Usimuone mtu ana nguvu za Mungu ndani yake.. ana upako wa hali ya juu.. ukafikiri aliamka tu asubuhi na kujikuta hivyo... kuna gharama amelipa... "wakati wewe unakula na kunywa, mwenzio alikuwa anafunga na kuomba, wakati wewe unajikweza.. yeye alijinyenyekesha, wakati wewe unafanya mambo yasiyo na faida kujifurahisha, yeye alikuwa anasoma neno la Mungu na kutembea katika utakatifu, wakati wewe uko busy kuangalia makosa ya watu ili uwakosoe, yeye alikuwa busy kujiangalia ni wapi alipokosea na kujirekebisha, wakati wewe unakesha kwenye starehe, yeye alikesha kwa kuomba nk.." Kwahiyo, chunga sana mdomo wako...!
You might also like:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...