HEADER

Jumapili, 2 Juni 2013

SEMINA YA NENO LA MUNGU AKUZAM IPS POSTA MPYA

Mchungaji kiongozi wa huduma ya Akuzam International,akihubili katika semina ambazo zinafanyika kila mwisho wa mwezi.


Muimbaji wa kimataifa,Madam Ruti Mwamfupe, akimshukuru MUNGU baada ya kumaliza kuimba wimbo wake uuitwao Jana Imepita ambao alishirikiana vema na mtumishi wa MUNGU CHRISS AHAZ.katika kanisa la AKUZAM INTERNATIONAL pale Posta mpya jijini DSM.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...