HEADER

Jumatano, 26 Juni 2013

ASKOFU KAKOBE AMALIZA ZIARA YAKE TORONTO, CANADA


Wadau, nimekuwa hapa Toronto, Canada kwenye mkutano wa Askofu Kakobe. Maelfu ya watu wa kila rangi na hata waislamu walitokea. Kulikuwa na wahindi, wachina, wakorea, wazungu pamoja na waafrika wengi. Tumeshuhudia miujiza! Jana kijana wa kiChina aliyekuwa kwenye wheelchair aliweza kutembea. Bibi ambaye alikuwa kwenye wheelchair miaka 18 aliweza kutembea, viziw walisikia! Watu waliolewa mapepo! Hapa Toronto, Askofu Kakobe amefanya mengi! Mkuanta huo ulikuwa June 20-23, 2013 Rexall Centre, York University. Kweli Mungu anamtumia Askofu Kakobe!










Askofu Kakobe Jukwaani

Walioamua kuokoka

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...