Wadau, nimekuwa hapa Toronto, Canada kwenye mkutano wa Askofu Kakobe.
Maelfu ya watu wa kila rangi na hata waislamu walitokea. Kulikuwa na
wahindi, wachina, wakorea, wazungu pamoja na waafrika wengi.
Tumeshuhudia miujiza! Jana kijana wa kiChina aliyekuwa kwenye
wheelchair aliweza kutembea. Bibi ambaye alikuwa kwenye wheelchair miaka
18 aliweza kutembea, viziw walisikia! Watu waliolewa mapepo! Hapa
Toronto, Askofu Kakobe amefanya mengi! Mkuanta huo ulikuwa June 20-23,
2013 Rexall Centre, York University. Kweli Mungu anamtumia Askofu
Kakobe!
Askofu Kakobe Jukwaani
Walioamua kuokoka
Askofu Kakobe Jukwaani
Walioamua kuokoka
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni