HEADER

Ijumaa, 7 Juni 2013

MWIGIZAJI WA FILAMU TANZANIA ATOA MAUA KATIKA KANISA LA YESU KRISTO LA HUDUMA YA MAOMBEZI NA UPONYAJI


Siku ya tarehe 31.05.2013 mtumishi wa Mungu aliweza kumtolea Mungu zawadi ya maua kwaajili ya kupamba nyumba ya Mungu. Dotnata amekuwa akimtumika Mungu kwa muda sasa na Mungu aliweza kumponya na tatizo la sumu mwili ambayo aliipata baada ya kunywa juice iliyowekewa sumu. Dotnata aliweza kufikishwa kanisani kwa nabii Flora baada ya kuzunguka makanisa mengi kwaajili ya maombezi bila mafanikio, alipokutana na mtumishi wa Mungu alipata uponyaji.

Nabii Flora akimuombea mtumishi wa Mungu Dotnata








Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...