Utapata shuhuda mbalimbali na mojwapo ni hizi.
1 Mchawi aliyekuwa akiwanga kanisani na kupaa wakati Nabii Flora akihubiri, amgeukia Yesu Kristo
2. Dada ambaye mwanae alifia tumboni, baada ya maombezi aliweza kucheza tumboni
3. Dada aliyepata ajali na kuvunjika kiuno apona
4. Dotnata apona na tatizo la sumu mwilini baada ya kunywa juice yenye sumu, na kumsababishia mwili kuwa dhaifu na ngozi kuwa nyeusi.
Kuna shuhuda nyingi utasikia na matendo makuu ya Mungu.
Tembelea www.nabiiflora.blogspot.com
DVD Cover na Video imetengezwa na Rumafrica +255 715 851523
DVD Cover mbele



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni